Tuki zungumzia HIP HOP Hapa tuna mzungumzia GORKO FLOW-
ambae ni msanii wa hip hop anae fanya vizuri katika mziki wa hip hop na kwa sasa
ni msanii anaetamba kwa nyimbo yake mpya inayo enda kwa jina la KICHUNA ni moja kati ya ma mc wanao ipaisha mbeya na
kuifanya kuwa house ya vipaji yaaa ni green vipaji.
Katika mtaa GORKO FLOW alitujuza mengi kuhusu mziki wake
toka alipotoka mpaka alipofikia kwasasa kwani kajifunza mengi na kupitia mengi
katika swala la musiki in short gorko flow alisema “hakuna yes bila haso na
hakuna haso bila kujia amini na kujua unacho fanya coz music huitaji msindani
mwenye kishindo na si mshindani goigoi” hayo
ndoyo aliyo sema na pia aka
washauri wana music wezake kuwa sikuzote umoja ninguvu utengano ni udhaifu
No comments:
Post a Comment