Ads 468x60px

NEW ARTIST

NEW ARTIST
Zao la music limekuwa nizao bora kwa vijana kwani lina wafanya vijana kujipatia ajira zao na kuwa watu tofauti katika maswala mbalimbali na hapa na mzungumzia IQ ambaye ni msanii chipkiz kutoka pande flanii ivi yaaani town of green city nidogo anaefanya vyema kwa track yake iitwayo "UMENUNA" na mwenye malengo ya kufika mbali maombi mema kwake na katika kazi yake nzuri mungu mtangulie

Random Posts

Search This Blog

Flickr

Social Share

Recent comments

Recent Comments

Popular Posts

Most Popular

Tuesday, March 15, 2016

Producer mzuri kutoka mbeya city yaani MOST INC ana haya ya kusema..........................!!!!!!!!!!!!!

                        Hapa sasa tunazungumzia  good production kutoka kwa most inc. Huyu ni mmoja kati ya ma producer wazuri na wanao fanya vizuri katika mkoa wa ,mbeya na mwenye promo kubwa kwa wasanii wake.Huwezi amini ndiye aliyeifanya kichuna  ya gorko flow ikawa vyema na katika media.Jina la kizushi wanamwitaga kinega au MR mommo kutokana na ujuzi wa kufanya mixing nzuri na kufanya kinanda na gita viwe na maelewano……………………
 stop over ikaishia hapo
                  Katika pitapita kimtaa nilikutana na huyu jamaa tukapiga story kuhusu mengi yanayo jili katika industry  ya music na vip katika lengo la kuwainua wasanii chipukizi most alisema kuwa harakati nyingi anazifanya kwa lengo la kuwaweka sawa na kuwafanya wawe wenye majina tofauti na mwanzo na pia changamoto  ni nyingi zinazofanya wasanii wengi chipukizi kukosa tumaini jipya katika game je? Unawashauli nini wasanii hawa wanao katiswa tamaa na kujikuta wanapotea katika game la music na hivi ndivyo alivyo jibu ‘Sikuzote sanaa inaitaji moyo kwani hakuna kitukizuri kama kujiamini na kujituma katika  game la music’……



No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates