Tumesha sikia mengi kuhusu gorko flow lakini hii ni mpya msaniiii wa hip hop gorko flow atangaza rasmi kichupa kina chokuja cha ngoma yake kali inayo fanya vizuri katika redio yaaani na zungu mzia kichuna alio mshirikisha mkali wamasauti yaani dullayo na vip kuhusu kichuna mwenyewe yaani nazungumzia mwana dada atakae simama kama video queen hapa ilikuwa hiviii sitaki kusema
Gorko flow kasema yuko tayari mashabiki wake kumchagulia video queen na atakubali kwa moyo mmoja kwani mashabiki wake ndio wanao msapot kwakila step anayo ifuata ...................je wewe una hisi nani atakuwa kichunaaaaaaa........au anafaa kuwa queen wa kichunaaaa.........??????
No comments:
Post a Comment