Ads 468x60px

NEW ARTIST

NEW ARTIST
Zao la music limekuwa nizao bora kwa vijana kwani lina wafanya vijana kujipatia ajira zao na kuwa watu tofauti katika maswala mbalimbali na hapa na mzungumzia IQ ambaye ni msanii chipkiz kutoka pande flanii ivi yaaani town of green city nidogo anaefanya vyema kwa track yake iitwayo "UMENUNA" na mwenye malengo ya kufika mbali maombi mema kwake na katika kazi yake nzuri mungu mtangulie

Random Posts

Search This Blog

Flickr

Social Share

Recent comments

Recent Comments

Popular Posts

Most Popular

Featured Posts

Wednesday, April 20, 2016

Raymond - KWETU (Official video)

ZAX 4REAL,,,,,,,,IQ........SHADAMOO Ndani ya kolabo matata si yakukosa hii..........>>>>>>>>

Najua mnajua zax 4real ninani ukizungumzia  upole na ukarimu pia hekima kwa wote na kila lika hapo unamzungumzia zax 4real, pia IQ  Wanapenda kumuita de  uniq  mwenye salamu kwakila lika pia hekima na upole  na nidhamu pia Shadamoo wengi wana mfahamu kwa ubola wake unyenye kevu na utu kwakila mtu sasa ndani ya mkono unao washa ya ni Most inc wakifanaya kolabo kali unajua lina itwaje "HELLOW" si yakukosa mtu wangu .......................

NEW TRACK GORKO FLOW FT SUMA MNAZALETI......>>>>>>>>>>

 Huwezi amini kilichopo bt mzee wakichuna yaani gorko flow teina kafanya track yake mpya na suma mnazaleti unataka kujua ikoje na ina itwaje usikose basi coz nitaitangaza rasmi juma mosi...............

Thursday, March 24, 2016

T.M.T family.on step over


Great dance kutoka mbeya yaani hapa tunawazungumzia TMT  family wanaofanya vyema katika dance wajua ni watuwengi wana fanya kamaivi lakini hawa ni watu wa tofauti na wengine kwani wanafanya hadi wana boa
Nikiwa kitaa nili meet nao hawajamaa katika program nzima ya step over nao walikuwa na haya yakusema
Wajua ki paji cha ma dance nikipaji kinachokuwa kwa kasi tofauti na huko nyuma  kwa huko nyuma wengi walikuwa wanatuchukulia kama wahuni flani  nakuto jaili kuwa kipaji kinaweza kuwa ajili kwa maisha ya binaadamu ila tuna shukuru mungu kwa sasa watu wanaelewa nini tuna fanya na wana tupasapoti sana kwa hiki
Na je wana washauri nn madance wengine
Kiukweli hatuwezi kusema mengi ila tuna waambia kwanza wakaze na watambue wanacho kifanya kwan msingi mzuri wa kama sisi ni kujituma na kufanya zoezi kwa nguvu …………..
Haya kazi kwenu


 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates