Ads 468x60px

NEW ARTIST

NEW ARTIST
Zao la music limekuwa nizao bora kwa vijana kwani lina wafanya vijana kujipatia ajira zao na kuwa watu tofauti katika maswala mbalimbali na hapa na mzungumzia IQ ambaye ni msanii chipkiz kutoka pande flanii ivi yaaani town of green city nidogo anaefanya vyema kwa track yake iitwayo "UMENUNA" na mwenye malengo ya kufika mbali maombi mema kwake na katika kazi yake nzuri mungu mtangulie

Gallery

Random Posts

Search This Blog

Flickr

Social Share

Recent comments

Recent Comments

Technology

Fashion

Gallery

Sports

Games

Popular Posts

Most Popular

Thursday, March 24, 2016

NI KWELI KWAMBA WATOTO WA KIKE BONGO MOVIES WANATEGEMEA ZAIDI UZURI WAO KWENYE FILAMU KULIKO VIPAJI VYA UIGIZAJI.?

                         Hili ni moja kati ya maswali wanaojiuliza wengi lakini jibu liko hapa wajua uigizaji ni kazi kama kazi zingine japo uzuri nikitu kinacho changia kuwa na muonekano mzuri katika movie na kuzi konga hisia za watu kwani ata mwana mziki mzuri akiwa na nyimbo nzuri husifiwa akionekana vizuri katika video ………………………………..

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text

Sample Text

 
Blogger Templates